Diamond Platnumz ni msanii wa Tanzania mwenye sifa zake kwenye muziki. Baaada ya kupiga collabo ya Prokoto amabamo Ommy Dimpoz yumo, alisita kufanya kazi na wasanii wa Afrika Mashariki na kujikita zaidi na wasanii wa Afrika Kusini, Nigeria na pia Marekani. Msanii wa kike wa Kenya kwa jina la Esther Akothe aka AKOTHEE, amefanikiwa kumpa collabo Diamod wimbo unaorekodiwa ndani ya studio za WCB, Wasafi ClassicAKOTHE NA DIAMOND STUDIONI, WAKIREKODI.
Hii nayo ni collabo yake ya pili tangu alipomshirikisha mkali Mr. Flavor wa Nigeria,”Shengerere mama”iliofanywa na God Father ya Afrika Kusini.
hapo vipi??
LikeLike